Mwandishi: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
“Wewe hulali?”
Rahab aliuliza kwa sauti ya unyonge, huku akimtazama Raisi Praygod kwa macho yaliyo jaa usingizi, hadi akajikuta akirembua.
“Nataka nikaoge”
Rais
Praygod akapiga hatua moja, ila Rahab akamshika mkono na kumvuta kwa
nguvu na kuangukia kitandani. Rahab kwa haraka akausogeza karibu mdomo
wake kwa Raisi Praygod na wakaanza kunyonyana, huku wakionekana kuwa
katika hisia kali. Raisi Praygod akalivua gauni lake na kulitupa
pembeni. Akalishika la Rahab na akamvua, wote wakabakiwa kama walivyo
zaliwa.
ENDELEA
Hapakuwa na mtu aliye weza kumuonea mwenzake aibu zaidi ya wote
kushiriki tendo la ndoa ipasavyo. Rahab akazidi kujituma kitandani kumpa
muheshimiwa Raisi mambo matamu ambayo hata Raisi Praygod, hakuwahi
kuyapata kutoka kwa mwanamke wa aina yoyote tangu azaliwe. Hata marehemu
mke wake, hakuweza kufikia hata aslimia kumi kwa mambo ambayo Rahab
anamfanyia juu ya kitanda. Wote wakajikuta wamesahau kwamba wanapita
katika kipindi kigumu cha matatizo.
“Rahab”
Raisi Praygod alimuita Rahab, aliye mkalia juu ya kiuno chake akizidi kukatika kadri ya uwezo wake.
“Mmmmmm”
Rahab
aliita huku akiwa amebana pumzi zake, huku jasho kwa mbali likimwagika
na nywele zake ndefu zikiwa zimekaa shaghala baghala.
“Nataka nikuoe”
“Kweli?”
“Ndio nahitaji uwe mke wangu, wa ndoa”
Rahab
kuambia wahivyo hakujibu kwa sauti, ila akajibu kwa vitendo, vilivyo
mfanya Raisi kusahau matatizo yote na kuzidi kuchanganyuikiwa kwa penzi
hilo la binti mdogo mwenye mwili mwembamba, fulani, ila si shuuhuli ya
kupambana pekee yake na maadui, ila hata shughuli ya kitandani anaiweza
kwa asilimia mia moja. Hadi wanafikia kileleni wote kwa pamoja
wakajikuta wakicheka huku wakiamini kwamba walicho peana kilistahili kwa
wao kuweza kukipata kwa wakati huo.
“Nakupenda sana Rahab”
Raisi
Praygod alizungumza huku akihema mithili ya mwana riadha wa mwisho
kwenye mbio ndefu, aliyekua na kibarua kirefu cha kuwakimbiza wezake
wanao kwenda kwa mbio ndefu sana.
“Nakupenda pia Praygod”
Kwa
mara ya kwanza Rahab kufungua kinywa chake na kuliita jina la Raisi,
kwani siku zote alizoea kumuita muheshimiwa Raisi. Taratibu Rahab
akajilaza kifuani mwa Raisi Praygod, huku taratibu akiupa kazi mkono
wake wa kushoto kuchezea nywele nyini lizizopo kifuani mwa raisi
Praygod.
“Twende tukaoge”
Raisi
Praygod alizungumza, na taratibu wote wakashuka kitandania, wakaingia
bafuni na kila mmoja akawa na kazi ya kumuogesha mwenzake kwa kila kona
ya mwili. Ukawa ndio mwanzo mpya wa mahusiano kati ya Raisi Praygod na
Rahab, kila mmoja aliweza kuufungua moyo kwa mwenzake na kuamini upendo
wao umeendana kwa asilimia kubwa sana.
***
Kila
jinsi walivyo zidi kuogelea ndivyo jisi walivyo zidi kwenda mbele,
huku mara kwa mara wakiwa wanajitokeza kwenye usawa wa bahari kutazama
ni wapi wanapo elekea. Ikawachukua muda mrefu sana kuweza kufika
pembezoni mwa fukwe za bahari, katika eneo ambalo limetulia sana. Wote
wakaivua mitungi ya gesi ambayo walikuwa wameivaa migongoni mwao. Kila
mmoja alijihisi njaa kubwa kwenye tumbo lake, kwani waliweza kudumu
ndani ya maji takribani masaa nane, wakiwa wanatoroka kutoka sehemu
mmoja kwenda nyinine
“Ahaaa kudadadeki, kweli ng’ombe wa masikini hazai”
Halima
alizungumza kwa sauti kubwa huku akijilaza kwenye mchanga mweupe ulio
kua pembezoni mwa bahari hii kubwa. Hakuna aliye mjibu zaidi ya wezake
kuendelea kutazama kila eneo la fukwe hizi zinazo pendeza kuvutia sana.
“Jamani inakuaje?”
Anna aliuliza kwa sauti ya unyonge, dhairi akionekana kuchoka sana.
“Nahisi hapa kwenye fukwe kunaweza kua na nyumba tutembeeni tembeeni, tunaweza kupata msaada”
Samson aliwashauri wezake
“Lakini jamani, hembu kuweni makini. Hapa tulipo fika sote hatupajui. Isije ikawa fukwe ya jeshi ikala kwetu ohooo”
Halima alizungumza huku akijigeuza geuza kwenye mchanga
“Sasa Halima wewe unataka tuendelee kukaa hapa si ndio?”
“Hapana
sijasema hivyo Fetty, ila ninacho sema mimi, tuwe makini tusiwe vihere
here. Kama pesa tumezikosa, lile lidude nalo limechukuliwa. Yote kwa
tamaa zetu”
“Halima huu muda sio wa kulaumiana bwana”
Agnes alizungumza kwa hasira kali.
“Hata
kama, jamani lakini hua siku zote nikizungumzaga ukweli, munaniona mimi
fala. Sasa huyo Samson tuliye msaidia naye katuileta huku, nilipo kua
ninamkatalia tusiwe pamoja naye mimi nilijua tuu haya yatatokea. Haya
baba Samson tuambie tunaelekea wapi?”
“Maneno
ya Halima, yakamkera kila mtu ambaye, alionekana kuchoka sana kwa
shuhuli nzima waliyo ifanya ya kujioko kutoka kwenye jeshi la nchi ya
Russia
Wakaanza
kutembea kwa umakin, huku wakitazama kila eneoa la fukwe hii. Kigiza
kilisha anza kuchukua nafasi yake huku kila mmoja akaizidi
kunyong’onyewa kwa kuchoka sana. Hawakukata tamaa zaidi ya kwenda mbele
kubahatisha kama wanaweza kupata sehemu ya kujistiri. Hadi inagonga
mishale ya saa mbili usiku hapakuwa na mtu aliye baatika kuona nyumba
ama uwepo wa watu katika eneo hilo
“Jamani tupumzikeni bwana na kama kuendelea tutaendelea kutembea tukiwa na nguvu”
Halima
alizungumza huku akiwa amesimama, wezake wote wakamgeukia na kumkodolea
mimacho. Kila mtu akakubaliana na wazo la Halima, wakatafuta moya ya
jiwe kubwa lililo toboka na kuweka kijichumba kidogo, wote wakaingia na
kukaa humo. Mwanga wa mbalamwezi uliweza kuwaonyesha ndani ya jiwe hilo
kubwa, hapakuwa na kitu chochote kinacho weza kuwadhuru.
Baridi
kali kwao ndio ikawa ni changamoto kubwa sana iliyo weza kuwatesa miili
yao, isitoshe nguo walizo zivaa zilizo tengenezwa kwa material ya mpira
hazikuweza kabisa kuizuia baridi hiyo kuendelea kuwapiga kwenye miili
yao.
“Mmmm hili puku ni balaaa”
Agnes
alizungumza huku akijikunyata, taratibu Samson akatoka ndani ya jiwe na
kusimama nje, akatizama kila kona ya fukwe hakuona mtu yoyote,
akazunguka nyuma ya jiwe na kujisaidia haja ndogo ambayo ilikuwa
imememkamata kwa kipindi kirefu sana. Akiwa katikati ya kujisaidia haja
ndogo kwa mbali akaweza kuona mwanga wa taa ukitokea kwenye moja ya
nyumba iliyo mbali kidogo toka hapo walipo, kwa haraka akamaliza haja
yake na kuzunguka walipo wezake
“Jamani kuna kitu nimekiona tokeni haraka”
Fetty
na wezake wakatoka kwa haraka, Samson akawaonyesha mwanga wa taa hiyo .
Kwa haraka bila hata ya kujiuliza wakanza kukimbia kuelekea kwenye
nyumba hiyo. Kila walivyo zidi kwenda ndivyo walivyo zidi kuiona
mandhari ya nyumba hiyo, ambayo ni kubwa kiasi na yagorofa.
Wakafanikiwa kufika kwenye uwanja wa jumba hilo linalo onekana ni jumba
la kifahari, ila nje hapakua na taa ya aina yoyote, zaidi ya taa inayo
waka kwenye chumba hicho kimoja.
“Jamani, tuweni makini naona tunaenda tu”
Halima
alizungumza, kwa kujiamini. Wote wakasimama kutazama mazingira ya jumba
hili lililo zungukwa na miti mingi ya minazi. Kwa mbali wakasikia
mngurumo wa gari ukiwa unakaribia kufika kwenye jumba hili, kwa haraka
wakatafuta sehemu ya kujificha ambayo iliwawezesha kuona mlango mkubwa
wa kuingilia ndani ya jumba hilo.
Gari
moja ya kifahari aina ya Jaguar, ikasimama nje ya jumba hili. Wakashuka
watu wawili walio valia suti huku mikononi mwao wakishika bunduki aina
ya Short gun. Mmoja akazunguka upande wa pili wa gari ambapo akaufungua
mlango wa gari hiyo. Wote wakamshuhudia bwana Rusev akishuka kwenye gari
hilo la kifahari huku akionekana kutazama kila upande wa jumba hilo.
‘Asante Mungu’
Samson
alizungumza kimoyo moyo, kwani amemuona rafiki yake huyo. Waliye toka
kupotezana masaa machache ya nyuma. Samson kwa haraka akanyanyuka na
kuanza kukimbilia sehemu alipo Rusev, jambo lililo mfanya Agnes naye
atake kunyanyuka kutoka katika sehemu waliyo jificha ila Fetty akamzuia.
Bwana
Rusev na watu wake wakaonekana kusthushwa na uwepo wa Samson katika
eneo hilo, ambalo kwao ni eneo la maficho la kiongozi huyu. Kabla Samson
hajafika alipo bwana Rusev, akachomoa bastola yake moja na kumtandika
Samson, ya kwenye mguu, na kumuangusha Samson chini akiwa haamini kama
Rusev anaweza kumfanyihi hivyo.
***
Kitu
cha kwanza kukifanya Raisi Praygod baada ya kuamka asubuhi akaichukua
simu iliyopo mezani na kimpigia rafiki yake Frednando, akampa jina la
Motel walipo fikizia, na akamuomba aje na nguo za wao kuvaa.
“Umeakaje mpenzi”
Rahab alizungumza kwa sauti ya uchovu huku akimtazama usoni Rais Praygod aliye achia tabasamu pana usoni mwake.
“Mimi nimeamka salama”
Rahab
taratibu akajivuta karibu na sehemu alipo kaa Raisi Praygod, pembezoni
mwa kitanda na kumpiga busu moja la mdomoni. Kisha akajilaza kwenye
mapaja ya Raisi Praygod.
“Wewe ni mzuri sana Rahab”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Umenifanya
sasa, nijisikie kua ni mwanaume mwenye bahati, kumpata mwanamke ambaye
siku zote kwenye maisha yangu nilikua nikumuwazia”
“Kweli?”
“Ndio, yaani umenipa kitu ambacho sijawahi kupewa tangu nitoke tumboni mwa marehemu mama yangu”
Rahab
akatabasamu, taratibu akajinyanyua mapajani mwa raisi Praygod, na
kuanza kumnyonya midomo yake, taratibu wakajikuta wakiingia kwenye
dimbwi jengine zito la mahaba, ambapo kama kawaidia yake Rahab, alijua
ni nini cha kufanya kuzidi kumpagawisha rasi Praygod, ambaye tayari
anaonekana amenogewa na utamu wa penzi la Rahab, binti aliye mpita miaka
kumi.
Azaria
akagonga mlango akimuashiria Raisi Praygod kwamba, ni muda wa wao
kuweza kupata kifungua kinywa. Ila hapakuwa na jibu lolote kutoka kwa
raisi, ikamlazimu Azaria kuweka sikio lake moja mlangoni kusikiliza ni
kitu gani, kinacho endelea. Akajikuta akitabasamu, baada ya kusikia
vilio mchanganyiko kati ya Rahab na Raisi Praygod.
“Mmmm huyo ndio raisi”
Azaria
alizungumza kwa sauti ya chini na kuondoka katika mlango na kurudi
chumbani kwake kuvuta vuta pumzi akisubiria mtanange wa kukata na shoka
uliopo ndani ya chumba cha Raisi Praygod uweze kumalizika.
Ikawachukua
takribani dakika arobaini, kumaliza mtanange woa. Raisi kambeba Rabab
na kuingia naye bafuni ambapo waliweza kuoga kwa pamoja kisha
wakajifunga mataulo yao. Kabla hawajaendelea kufanya kitu kingine,
mlango ukagongwa tena.
“Who?”(Nani?)
Raisi Praygod aliuliza kwa sauti ya kujiamini.
“Ni mimi muheshimiwa, Azaria”
“Ahaaa”
Raisi
Praygod akapiga hatua hadi mlangoni ambapo, akaufungua kwa funguo
iliyokuwa imening’inia kwenye kitasa cha mlango huo. Akamkuta Azaria
akiawa amesimama huku mkononi mwake akiwa ameshika chupa mbili za juisi
pamoja na kifuko cha rangi ya kaki.
“Muheshimiwa kifungua kinywa”
Azaria alizungumza huku akiwa amesimama nje ya mlango
“Karibu ndani”
Azaria
akaingia ndani na kumkuta Rahab akiwa amesha jifunga taulo, na kukaa
kitandani, simu ya mezani ikaita na kumfanya Raisi Praygod kuipokea
“Nimesha fika kaka”
Sauti ya Frednando ilisikika kwenye simu
“Ahaaa, kuna kijana wangu hapo anakuja kukuchukua, akulete chumbani”
“Sawa kaka”
Frednando
alizungumza kwa sauti ya furaha, kwani ni muda mrefu umepita sasa tangu
aonane na rafiki yake huyu. Raisi akamuomba Azaria kwenda kumpokea
rafiki yake huyo kipenzi. Azaria akatoka nje, na kukuta gari za kifahari
sita zikiwa zimesimama nje ya moteli hiyo, kutokana alielekezwa
Frednando anafanania vipi, moja kwa moja akamfwata na kumuomba waweze
kuongozana hadi sehemu alipo Raisi Praygod.
Frednando
akaongozana na walinzi wake wawili walio beba suti mbili kwenye mifuko
yake maalumu, suti hizo zenye gharama kubwa. Wakafika kwenye chumba
alipo raisi Praygod. Ikawa ni shangwe kubwa kwa Frednando na Raisi
Praygod, vituko vya kusalimiana kwao unaweza kusema kwamba sio
waheshimiwa wanao kubalika sana mbele ya macho ya wanajamii wengi.
“Ebwanaa kaka ni more than, miaka kumi na tano hatujaonana eheee?”
“Yaa kaka, kweli Mungu ni mwema”
“Kweli ndugu yangu, nakumbuka kipindi kile ulikua unaniambia utakua raisi na kweli, leo wewe ni raisi”
“Kweli ndugu yangu ndoto zimekua kweli”
Fredinando
akawageukia walinzi wake na kuwaambia kwa lugha ya kispain kwamba
Praygod ndio mtu alimfundisha lugha ya kiswahili ambayo hadi leo imekuwa
ni lugha anayo ipenda sana, japo yeye ni mmexco.
“Kutana na shemeji yako, anaitwa Rahab”
“Ohoooo Rahab, nashukuru kukufahamu”
“Nawe pia”
“Rahab huyu ni Frednando, ni ndugu yangu sana tumesoma chuo kimoja, tumalala chumba kimoja”
“Pia kula tulikua tunakula pamoja”
Frednando
alidakia na kuwafanya wote kucheka. Wakawakabidhi suti walizo kuja
nazo, kisha wao wakatoka nje na kuwasubiria Rahab na Raisi Praygod
waweze kuvaa nguo hizo. Kila mmoja akvaa suti aliyo letewa, kama vile
Frednando aliotea, suti hizo ziliwatosha vizuri sana Rabab na Rais
Praygod. Wakakabidhiwa viatu vilivyo kua vimesaulika ndani ya gari moja
waliyo kuja nayo. Wakatatoka ndnai ya chumba na kukuta Azaria akiwa
amewasubiria nje.
“Azaria tunashukuru sana, Mungu akubariki katika kila jambo ambalo unakwenda kulifanya”
“Kwani huyo ni nani?”
Frednando aliuliza, huyu anaitwa Azaria alitusaidia barabarani, akatununulia chakula na kutulipia hadi hapa tulipo lala”
“Ohooo, ngoja basi”
Frednando
akamngong’oneza mlizi wake, ambaye akatoa kitabu kidogo cha benk,
pamoja na kalamu. Frednando akamuandikia Azaria cheki ya shilingi dola
kali mbili na kumkabidhi. Azaria hakuamini machi yake kwani, tangu
azaliwe hakuwahi kufikiria kwamba ipo siku atapata mkwanja mrefu kiasi
hicho. Wakaagana na Azaria, kisha safari ya kuelekea kwenye jumba la
Frednando ikaamza
***
Fetty na wezake wakajikuta wakimshangaa, Samson anaye garagara chini kwa maumivu makali ya risiasi aliyo pigwa na bwana Rusev.
“Jamani itakuaje?”
Agens
alizungumza kwa sauti ya chini, huku wakiendelea kumtazama bwana Rusev
akifoka kwa sauti ya juu huku akimtazama Samson aliye lala chini.
Mawazo
yote ya bwana Rusev alihisi kwamba Samson yeye ndio chanzo kikubwa cha
yeye kuvamiwa na wanajeshi wa nchi yake. Kwani uchunguzi walio weza
kuufanya wakiwa ndani ya manohari ambayo walilitewa kwa ajili ya
kuuziwa, kulikuwa na kifaa cha GPR’s, ambacho kiliweza kuionyesha
manohairi hiyo ni wapi ilipo, kifaa kilicho washwa na Halima pasipo yeye
kujijua, kina kazi gani katika manohari hiyo, iliyokuwa hainaswi na
satalaiti zozote za nchi waliyo kuwepo.
Bwana Rusev akaanza kumshushia kipigo kikubwa, Samson ambaye muda wote aliendela kulia kwa maumivu makali.
“Tuondokeni jamani”
Halima alizungumza huku akianza kutambaa kurudi rudi nyuma, kutoka katika bustani kubwa yenye maua waliyo lala.
“Tutakwenda wapi unadhani?”
Anna aliungumza
“Hembu acha ujinga wewe, sasa unataka tukae hapa ili iweje?”
“Na Samson je?”
“Kwani ni bwana wetu huyo, acheni afe mwenyewe bwana, sisi tunajua ni wapi tunatoka, mi naona anatupeleka peleka tu”
Halima
alizungumza kwa hasira, kwani tangu siku ya kwanza kumuona Samson, damu
zao hazikulandana kabisa, kiasi cha kumfanya Halima kumchukia Samson,
hata kama walizungumza, ila moyo wake ulijawa na mashaka na Samson.
“Hembu Halima acha roho mbaya, tumekuja pamoja tutaondoka pamoja haiwezekani tumuache mwenzetu hapa”
Fetty
alizungumza kwa msisitizo na kuzidi kumchefua Halima. Bwana Rusev
akamuamrisha askari kuwasiliana na wezao walio ndani, naye akafanya
hivyo kupitia simu ya upepo. Taaa zote nje ya jumba hili zikawashwa, na
kuwafanya Fetty na wezake waonekane waliopo, Walinzi wapatao hamsini,
wakiwa na bunduki, waliiekekeza mitutu yao katika eneo walilo lala Fetty
na wezake na kuwafanya wanyanyuke taratibu huku mikono wakiwa
wameinyanyua juu.
SHE IS MY WIFE(32)
Hapakuwa na mtu aliye weza kumuonea mwenzake aibu zaidi ya wote
kushiriki tendo la ndoa ipasavyo. Rahab akazidi kujituma kitandani kumpa
muheshimiwa Raisi mambo matamu ambayo hata Raisi Praygod, hakuwahi
kuyapata kutoka kwa mwanamke wa aina yoyote tangu azaliwe. Hata marehemu
mke wake, hakuweza kufikia hata aslimia kumi kwa mambo ambayo Rahab
anamfanyia juu ya kitanda. Wote wakajikuta wamesahau kwamba wanapita
katika kipindi kigumu cha matatizo.
“Rahab”
Raisi Praygod alimuita Rahab, aliye mkalia juu ya kiuno chake akizidi kukatika kadri ya uwezo wake.
“Mmmmmm”
Rahab
aliita huku akiwa amebana pumzi zake, huku jasho kwa mbali likimwagika
na nywele zake ndefu zikiwa zimekaa shaghala baghala.
“Nataka nikuoe”
“Kweli?”
“Ndio nahitaji uwe mke wangu, wa ndoa”
Rahab
kuambia wahivyo hakujibu kwa sauti, ila akajibu kwa vitendo, vilivyo
mfanya Raisi kusahau matatizo yote na kuzidi kuchanganyuikiwa kwa penzi
hilo la binti mdogo mwenye mwili mwembamba, fulani, ila si shuuhuli ya
kupambana pekee yake na maadui, ila hata shughuli ya kitandani anaiweza
kwa asilimia mia moja. Hadi wanafikia kileleni wote kwa pamoja
wakajikuta wakicheka huku wakiamini kwamba walicho peana kilistahili kwa
wao kuweza kukipata kwa wakati huo.
“Nakupenda sana Rahab”
Raisi
Praygod alizungumza huku akihema mithili ya mwana riadha wa mwisho
kwenye mbio ndefu, aliyekua na kibarua kirefu cha kuwakimbiza wezake
wanao kwenda kwa mbio ndefu sana.
“Nakupenda pia Praygod”
Kwa
mara ya kwanza Rahab kufungua kinywa chake na kuliita jina la Raisi,
kwani siku zote alizoea kumuita muheshimiwa Raisi. Taratibu Rahab
akajilaza kifuani mwa Raisi Praygod, huku taratibu akiupa kazi mkono
wake wa kushoto kuchezea nywele nyini lizizopo kifuani mwa raisi
Praygod.
“Twende tukaoge”
Raisi
Praygod alizungumza, na taratibu wote wakashuka kitandania, wakaingia
bafuni na kila mmoja akawa na kazi ya kumuogesha mwenzake kwa kila kona
ya mwili. Ukawa ndio mwanzo mpya wa mahusiano kati ya Raisi Praygod na
Rahab, kila mmoja aliweza kuufungua moyo kwa mwenzake na kuamini upendo
wao umeendana kwa asilimia kubwa sana.
***
Kila
jinsi walivyo zidi kuogelea ndivyo jisi walivyo zidi kwenda mbele,
huku mara kwa mara wakiwa wanajitokeza kwenye usawa wa bahari kutazama
ni wapi wanapo elekea. Ikawachukua muda mrefu sana kuweza kufika
pembezoni mwa fukwe za bahari, katika eneo ambalo limetulia sana. Wote
wakaivua mitungi ya gesi ambayo walikuwa wameivaa migongoni mwao. Kila
mmoja alijihisi njaa kubwa kwenye tumbo lake, kwani waliweza kudumu
ndani ya maji takribani masaa nane, wakiwa wanatoroka kutoka sehemu
mmoja kwenda nyinine
“Ahaaa kudadadeki, kweli ng’ombe wa masikini hazai”
Halima
alizungumza kwa sauti kubwa huku akijilaza kwenye mchanga mweupe ulio
kua pembezoni mwa bahari hii kubwa. Hakuna aliye mjibu zaidi ya wezake
kuendelea kutazama kila eneo la fukwe hizi zinazo pendeza kuvutia sana.
“Jamani inakuaje?”
Anna aliuliza kwa sauti ya unyonge, dhairi akionekana kuchoka sana.
“Nahisi hapa kwenye fukwe kunaweza kua na nyumba tutembeeni tembeeni, tunaweza kupata msaada”
Samson aliwashauri wezake
“Lakini jamani, hembu kuweni makini. Hapa tulipo fika sote hatupajui. Isije ikawa fukwe ya jeshi ikala kwetu ohooo”
Halima alizungumza huku akijigeuza geuza kwenye mchanga
“Sasa Halima wewe unataka tuendelee kukaa hapa si ndio?”
“Hapana
sijasema hivyo Fetty, ila ninacho sema mimi, tuwe makini tusiwe vihere
here. Kama pesa tumezikosa, lile lidude nalo limechukuliwa. Yote kwa
tamaa zetu”
“Halima huu muda sio wa kulaumiana bwana”
Agnes alizungumza kwa hasira kali.
“Hata
kama, jamani lakini hua siku zote nikizungumzaga ukweli, munaniona mimi
fala. Sasa huyo Samson tuliye msaidia naye katuileta huku, nilipo kua
ninamkatalia tusiwe pamoja naye mimi nilijua tuu haya yatatokea. Haya
baba Samson tuambie tunaelekea wapi?”
“Maneno
ya Halima, yakamkera kila mtu ambaye, alionekana kuchoka sana kwa
shuhuli nzima waliyo ifanya ya kujioko kutoka kwenye jeshi la nchi ya
Russia
Wakaanza
kutembea kwa umakin, huku wakitazama kila eneoa la fukwe hii. Kigiza
kilisha anza kuchukua nafasi yake huku kila mmoja akaizidi
kunyong’onyewa kwa kuchoka sana. Hawakukata tamaa zaidi ya kwenda mbele
kubahatisha kama wanaweza kupata sehemu ya kujistiri. Hadi inagonga
mishale ya saa mbili usiku hapakuwa na mtu aliye baatika kuona nyumba
ama uwepo wa watu katika eneo hilo
“Jamani tupumzikeni bwana na kama kuendelea tutaendelea kutembea tukiwa na nguvu”
Halima
alizungumza huku akiwa amesimama, wezake wote wakamgeukia na kumkodolea
mimacho. Kila mtu akakubaliana na wazo la Halima, wakatafuta moya ya
jiwe kubwa lililo toboka na kuweka kijichumba kidogo, wote wakaingia na
kukaa humo. Mwanga wa mbalamwezi uliweza kuwaonyesha ndani ya jiwe hilo
kubwa, hapakuwa na kitu chochote kinacho weza kuwadhuru. Baridi kali
kwao ndio ikawa ni changamoto kubwa sana iliyo weza kuwatesa miili yao,
isitoshe nguo walizo zivaa zilizo tengenezwa kwa material ya mpira
hazikuweza kabisa kuizuia baridi hiyo kuendelea kuwapiga kwenye miili
yao.
“Mmmm hili puku ni balaaa”
Agnes
alizungumza huku akijikunyata, taratibu Samson akatoka ndani ya jiwe na
kusimama nje, akatizama kila kona ya fukwe hakuona mtu yoyote,
akazunguka nyuma ya jiwe na kujisaidia haja ndogo ambayo ilikuwa
imememkamata kwa kipindi kirefu sana. Akiwa katikati ya kujisaidia haja
ndogo kwa mbali akaweza kuona mwanga wa taa ukitokea kwenye moja ya
nyumba iliyo mbali kidogo toka hapo walipo, kwa haraka akamaliza haja
yake na kuzunguka walipo wezake
“Jamani kuna kitu nimekiona tokeni haraka”
Fetty
na wezake wakatoka kwa haraka, Samson akawaonyesha mwanga wa taa hiyo .
Kwa haraka bila hata ya kujiuliza wakanza kukimbia kuelekea kwenye
nyumba hiyo. Kila walivyo zidi kwenda ndivyo walivyo zidi kuiona
mandhari ya nyumba hiyo, ambayo ni kubwa kiasi na yagorofa.
Wakafanikiwa kufika kwenye uwanja wa jumba hilo linalo onekana ni jumba
la kifahari, ila nje hapakua na taa ya aina yoyote, zaidi ya taa inayo
waka kwenye chumba hicho kimoja.
“Jamani, tuweni makini naona tunaenda tu”
Halima
alizungumza, kwa kujiamini. Wote wakasimama kutazama mazingira ya jumba
hili lililo zungukwa na miti mingi ya minazi. Kwa mbali wakasikia
mngurumo wa gari ukiwa unakaribia kufika kwenye jumba hili, kwa haraka
wakatafuta sehemu ya kujificha ambayo iliwawezesha kuona mlango mkubwa
wa kuingilia ndani ya jumba hilo.
Gari
moja ya kifahari aina ya Jaguar, ikasimama nje ya jumba hili. Wakashuka
watu wawili walio valia suti huku mikononi mwao wakishika bunduki aina
ya Short gun. Mmoja akazunguka upande wa pili wa gari ambapo akaufungua
mlango wa gari hiyo. Wote wakamshuhudia bwana Rusev akishuka kwenye gari
hilo la kifahari huku akionekana kutazama kila upande wa jumba hilo.
‘Asante Mungu’
Samson
alizungumza kimoyo moyo, kwani amemuona rafiki yake huyo. Waliye toka
kupotezana masaa machache ya nyuma. Samson kwa haraka akanyanyuka na
kuanza kukimbilia sehemu alipo Rusev, jambo lililo mfanya Agnes naye
atake kunyanyuka kutoka katika sehemu waliyo jificha ila Fetty akamzuia.
Bwana
Rusev na watu wake wakaonekana kusthushwa na uwepo wa Samson katika
eneo hilo, ambalo kwao ni eneo la maficho la kiongozi huyu. Kabla Samson
hajafika alipo bwana Rusev, akachomoa bastola yake moja na kumtandika
Samson, ya kwenye mguu, na kumuangusha Samson chini akiwa haamini kama
Rusev anaweza kumfanyihi hivyo.
***
Kitu
cha kwanza kukifanya Raisi Praygod baada ya kuamka asubuhi akaichukua
simu iliyopo mezani na kimpigia rafiki yake Frednando, akampa jina la
Motel walipo fikizia, na akamuomba aje na nguo za wao kuvaa.
“Umeakaje mpenzi”
Rahab alizungumza kwa sauti ya uchovu huku akimtazama usoni Rais Praygod aliye achia tabasamu pana usoni mwake.
“Mimi nimeamka salama”
Rahab
taratibu akajivuta karibu na sehemu alipo kaa Raisi Praygod, pembezoni
mwa kitanda na kumpiga busu moja la mdomoni. Kisha akajilaza kwenye
mapaja ya Raisi Praygod.
“Wewe ni mzuri sana Rahab”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Umenifanya
sasa, nijisikie kua ni mwanaume mwenye bahati, kumpata mwanamke ambaye
siku zote kwenye maisha yangu nilikua nikumuwazia”
“Kweli?”
“Ndio, yaani umenipa kitu ambacho sijawahi kupewa tangu nitoke tumboni mwa marehemu mama yangu”
Rahab
akatabasamu, taratibu akajinyanyua mapajani mwa raisi Praygod, na
kuanza kumnyonya midomo yake, taratibu wakajikuta wakiingia kwenye
dimbwi jengine zito la mahaba, ambapo kama kawaidia yake Rahab, alijua
ni nini cha kufanya kuzidi kumpagawisha rasi Praygod, ambaye tayari
anaonekana amenogewa na utamu wa penzi la Rahab, binti aliye mpita miaka
kumi.
Azaria
akagonga mlango akimuashiria Raisi Praygod kwamba, ni muda wa wao
kuweza kupata kifungua kinywa. Ila hapakuwa na jibu lolote kutoka kwa
raisi, ikamlazimu Azaria kuweka sikio lake moja mlangoni kusikiliza ni
kitu gani, kinacho endelea. Akajikuta akitabasamu, baada ya kusikia
vilio mchanganyiko kati ya Rahab na Raisi Praygod.
“Mmmm huyo ndio raisi”
Azaria
alizungumza kwa sauti ya chini na kuondoka katika mlango na kurudi
chumbani kwake kuvuta vuta pumzi akisubiria mtanange wa kukata na shoka
uliopo ndani ya chumba cha Raisi Praygod uweze kumalizika.
Ikawachukua
takribani dakika arobaini, kumaliza mtanange woa. Raisi kambeba Rabab
na kuingia naye bafuni ambapo waliweza kuoga kwa pamoja kisha
wakajifunga mataulo yao. Kabla hawajaendelea kufanya kitu kingine,
mlango ukagongwa tena.
“Who?”(Nani?)
Raisi Praygod aliuliza kwa sauti ya kujiamini.
“Ni mimi muheshimiwa, Azaria”
“Ahaaa”
Raisi
Praygod akapiga hatua hadi mlangoni ambapo, akaufungua kwa funguo
iliyokuwa imening’inia kwenye kitasa cha mlango huo. Akamkuta Azaria
akiawa amesimama huku mkononi mwake akiwa ameshika chupa mbili za juisi
pamoja na kifuko cha rangi ya kaki.
“Muheshimiwa kifungua kinywa”
Azaria alizungumza huku akiwa amesimama nje ya mlango
“Karibu ndani”
Azaria
akaingia ndani na kumkuta Rahab akiwa amesha jifunga taulo, na kukaa
kitandani, simu ya mezani ikaita na kumfanya Raisi Praygod kuipokea
“Nimesha fika kaka”
Sauti ya Frednando ilisikika kwenye simu
“Ahaaa, kuna kijana wangu hapo anakuja kukuchukua, akulete chumbani”
“Sawa kaka”
Frednando
alizungumza kwa sauti ya furaha, kwani ni muda mrefu umepita sasa tangu
aonane na rafiki yake huyu. Raisi akamuomba Azaria kwenda kumpokea
rafiki yake huyo kipenzi.
Azaria
akatoka nje, na kukuta gari za kifahari sita zikiwa zimesimama nje ya
moteli hiyo, kutokana alielekezwa Frednando anafanania vipi, moja kwa
moja akamfwata na kumuomba waweze kuongozana hadi sehemu alipo Raisi
Praygod.
Frednando
akaongozana na walinzi wake wawili walio beba suti mbili kwenye mifuko
yake maalumu, suti hizo zenye gharama kubwa. Wakafika kwenye chumba
alipo raisi Praygod. Ikawa ni shangwe kubwa kwa Frednando na Raisi
Praygod, vituko vya kusalimiana kwao unaweza kusema kwamba sio
waheshimiwa wanao kubalika sana mbele ya macho ya wanajamii wengi.
“Ebwanaa kaka ni more than, miaka kumi na tano hatujaonana eheee?”
“Yaa kaka, kweli Mungu ni mwema”
“Kweli ndugu yangu, nakumbuka kipindi kile ulikua unaniambia utakua raisi na kweli, leo wewe ni raisi”
“Kweli ndugu yangu ndoto zimekua kweli”
Fredinando
akawageukia walinzi wake na kuwaambia kwa lugha ya kispain kwamba
Praygod ndio mtu alimfundisha lugha ya kiswahili ambayo hadi leo imekuwa
ni lugha anayo ipenda sana, japo yeye ni mmexco.
“Kutana na shemeji yako, anaitwa Rahab”
“Ohoooo Rahab, nashukuru kukufahamu”
“Nawe pia”
“Rahab huyu ni Frednando, ni ndugu yangu sana tumesoma chuo kimoja, tumalala chumba kimoja”
“Pia kula tulikua tunakula pamoja”
Frednando
alidakia na kuwafanya wote kucheka. Wakawakabidhi suti walizo kuja
nazo, kisha wao wakatoka nje na kuwasubiria Rahab na Raisi Praygod
waweze kuvaa nguo hizo. Kila mmoja akvaa suti aliyo letewa, kama vile
Frednando aliotea, suti hizo ziliwatosha vizuri sana Rabab na Rais
Praygod. Wakakabidhiwa viatu vilivyo kua vimesaulika ndani ya gari moja
waliyo kuja nayo. Wakatatoka ndnai ya chumba na kukuta Azaria akiwa
amewasubiria nje.
“Azaria tunashukuru sana, Mungu akubariki katika kila jambo ambalo unakwenda kulifanya”
“Kwani huyo ni nani?”
Frednando aliuliza, huyu anaitwa Azaria alitusaidia barabarani, akatununulia chakula na kutulipia hadi hapa tulipo lala”
“Ohooo, ngoja basi”
Frednando
akamngong’oneza mlizi wake, ambaye akatoa kitabu kidogo cha benk,
pamoja na kalamu. Frednando akamuandikia Azaria cheki ya shilingi dola
kali mbili na kumkabidhi. Azaria hakuamini machi yake kwani, tangu
azaliwe hakuwahi kufikiria kwamba ipo siku atapata mkwanja mrefu kiasi
hicho. Wakaagana na Azaria, kisha safari ya kuelekea kwenye jumba la
Frednando ikaamza
***
Fetty na wezake wakajikuta wakimshangaa, Samson anaye garagara chini kwa maumivu makali ya risiasi aliyo pigwa na bwana Rusev.
“Jamani itakuaje?”
Agens
alizungumza kwa sauti ya chini, huku wakiendelea kumtazama bwana Rusev
akifoka kwa sauti ya juu huku akimtazama Samson aliye lala chini.
Mawazo
yote ya bwana Rusev alihisi kwamba Samson yeye ndio chanzo kikubwa cha
yeye kuvamiwa na wanajeshi wa nchi yake. Kwani uchunguzi walio weza
kuufanya wakiwa ndani ya manohari ambayo walilitewa kwa ajili ya
kuuziwa, kulikuwa na kifaa cha GPR’s, ambacho kiliweza kuionyesha
manohairi hiyo ni wapi ilipo, kifaa kilicho washwa na Halima pasipo yeye
kujijua, kina kazi gani katika manohari hiyo, iliyokuwa hainaswi na
satalaiti zozote za nchi waliyo kuwepo.
Bwana Rusev akaanza kumshushia kipigo kikubwa, Samson ambaye muda wote aliendela kulia kwa maumivu makali.
“Tuondokeni jamani”
Halima alizungumza huku akianza kutambaa kurudi rudi nyuma, kutoka katika bustani kubwa yenye maua waliyo lala.
“Tutakwenda wapi unadhani?”
Anna aliungumza
“Hembu acha ujinga wewe, sasa unataka tukae hapa ili iweje?”
“Na Samson je?”
“Kwani ni bwana wetu huyo, acheni afe mwenyewe bwana, sisi tunajua ni wapi tunatoka, mi naona anatupeleka peleka tu”
Halima
alizungumza kwa hasira, kwani tangu siku ya kwanza kumuona Samson, damu
zao hazikulandana kabisa, kiasi cha kumfanya Halima kumchukia Samson,
hata kama walizungumza, ila moyo wake ulijawa na mashaka na Samson.
“Hembu Halima acha roho mbaya, tumekuja pamoja tutaondoka pamoja haiwezekani tumuache mwenzetu hapa”
Fetty
alizungumza kwa msisitizo na kuzidi kumchefua Halima. Bwana Rusev
akamuamrisha askari kuwasiliana na wezao walio ndani, naye akafanya
hivyo kupitia simu ya upepo. Taaa zote nje ya jumba hili zikawashwa, na
kuwafanya Fetty na wezake waonekane waliopo, Walinzi wapatao hamsini,
wakiwa na bunduki, waliiekekeza mitutu yao katika eneo walilo lala Fetty
na wezake na kuwafanya wanyanyuke taratibu huku mikono wakiwa
wameinyanyua juu.
ITAENDELEA
No comments:
Post a Comment