Zari The Bosslady amesherehekea siku yake ya kuzaliwa Ijumaa hii akiwa
visiwani Zanzibar akiwa na mpenzi wake Diamond na watu wao wa karibu.
Sherehe
hiyo ilihudhuriwa Mose Iyobo, Aunty Ezekiel, na watu wengine wa karibu
wa familia hiyo. Kwenye sherehe hiyo pia waliongozana na mtoto wao
Princes Tiffah.
No comments:
Post a Comment