Advertisement

Breaking

Monday, November 7, 2016

Ajali Mbaya ya Noah na Lori la Mizigo Yaua watu 17 Mkoani Shinyanya

Watu 17 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T198CBQ na Noah ya abiria yenye namba za usajili T232BQR iliyotokea jana usiku katika kijiji cha Nsalala mkoani Shinyanga.

No comments:

Post a Comment

Sponsor