Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo October 31 2016 maeneo ya Kimara DSM, Taarifa zinadai kuwa alishambuliwa na wananchi baada ya madai ya kuitiwa mwizi kwa kushambuliwa na wananchi kwa madai ya kuitiwa mwizi.
Promota Siraji Kaike amesema watu aliokuwa anagombana nao walimwitia mwizi na wakapiga mapanga akawa ametupwa na bodaboda waliokuwa wanamjua Thoams Mashali walimuokota na kumpeleka hospitali ambapo baadaye zilitolewa taarifa kuwa amefariki.
Yassin Abdallah maarufu kama Ustaadhi, mmoja wa viongozi wakongwe wa mchezo wa ngumi amethibitisha na kusema mwili wa Mashali upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
"Tumethibitishiwa hizo taarifa za majonzi kabisa, mwili upo Muhimbili na msiba upo kwao Tandale," alisema Ustaadhi.
Monday, October 31, 2016
Home
/
Michezo
/
Uhalifu
/
Breaking News: Bondia Thomas Mashali Auwawa, Mwili Wake Waokotwa Vichakani Dar
Breaking News: Bondia Thomas Mashali Auwawa, Mwili Wake Waokotwa Vichakani Dar
About Mina Ashelly
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Uhalifu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment