Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana
Edward akiwapungia Mkono wananchi wa Jiji la Mwanza mara baada ya
kutangazwa Mshiindi wa Miss Tanzania 2016 Jijini Mwanza Leo wakati wa
Kuhitishimisha hindano la Miss Tanzania 2016.
Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana
Edward katikati akiwa na mshindi wa pili na watatu Grace Malikita na
Maria Peter mara baada ya Msindi wa shindano la Miss Tanzania 2016
kutangazwa Mshindi jijini Mwanza leo.
Warembo wakionesha mavazi ya ubinifu.
Warembo waliokua wameingia hatua ya tano bora moja kwa moja kwa kushinda mataji mbalimbali.
No comments:
Post a Comment